Wazaramo watatu toka vijijini walienda mjini kumtembelea ndugu yao, walipofika wakakaribishwa soda wa kanywa.
Walipoondoka wakati wapo njiani mmoja akamnong’oneza mwenzie huku akimuonyesha kisoda cha soda aliyokunywa “mwenzio nimeondoka na mbegu, wewe je?”.................cHAO






0 maoni:
Post a Comment