MAJONZI TUPU DAR ES SALAAM
watu wapoteza maisha baada ya golofa 16
zilizokuwa katika ujenzi kupolomoka ghafla.
Inakisiwa idadi ya watu wasiopungua 60
waliokuwa wakiendelea na ujenzi wamenasa
kwenye vifusi.kufikia sasa ni 14 pekee walio
okolewa. Idadi ya walio kufa mbaka sasa ni
watu wawili huku ikiofiwa kuwa idadi hiyo
yaweza kuongozeka kadri shughuli za uokoaji
zinavyo endelea. Raisi kikwete pamoja na viongozi wengine wafika kushuhudia katika eneo la tukio.








This comment has been removed by the author.
ReplyDelete