THE FUNNIEST EVER

Wednesday, February 5, 2014

MITANDAO YA BONGO

  MATATIZO YA MITANDAO BONGO

                         WADAU KAZI KWENU


Napenda kuchukua nafasi hii kufikisha  machache ya muhimu niliyonayo.Leo napenda kuzungumzia matatizo ya vyombo vyetu vya mawasiliano  hasa katika mitandao ya simu.kumekuwa na matatizo mengi kwenye huduma mbalimbali na hofa zitolewazo na mitandao ya simu.Tatizo lakwanza sehemu nyingi zilizo nahuduma za simu{zamkononi}network bado ni ya chini mno kiasi kwamba huwa kuna ugumu wa kufaidika a huduma zote zitolewazo na mitandao hiyo.Pili ni tofauti kubwa za tozo zitolewazo kutoka mitandao hiyo.Tatu huduma hewa ambazo hutokea mara kwa mara kwa wateja.Nne kukosewa kwa majina sahihi ya wateja kwenye usajili,mfano Juma Shamte [Juma hante}. Na mwisho kwa leo ni huduma ambazo huwa kero kwa wateja,huduma ambazo uchangaywa kwen
ye huduma nyingine muhimu  ambazo usumbufu.
Share:

0 maoni:

Post a Comment

MAKTABA YETU

My Blog List

By Hilary A Ghasia. Powered by Blogger.