AKILI KATIKA MAPENZI
- Mpende yule anaye tambua machozi yako,na si yule anaye sababisha machozi.
- Mapenzi ya sasa si ya kuishi kwa wivu na mpenzio.
- jitahidi kumvumilia mpezio pale mnapo koseana ,wapenzi sikuizi ni wapenda amani,kukiwa na mikwaruzano tu basi nishida na mnaweza mkatengana kabisa.
- Ishi maisha yako na mpenzio kamwe usiige maisha ya wengine,hapa utajiepusha kuwa mtu usiye eleweka kwa mpenzio
- Jifunze kusahau mambo mabaya yanayo weza kuharibu mahusiano yenu
- jitahidi kumuonesha mwezio kuwa unampenda kwa moyo wote
- jitahidi kuficha makucha kwa mpenzio,ficha ubaya unao fanya juu yake
- Jitahidi kuwa na ushirikiano na mwezio wakati wa shida na raha,hii uleta faraja kati yenu.
- Inapendeza kama utakuwa sababu ya furaha katika mapenzi yenu
- Unapo chunguza mienendo ya mpenzi wako jaribu kuwa makini asifahamu






0 maoni:
Post a Comment